بسم الله الرحمن الرحيم
NUSU SHAABAN
{ وكذلك نفصل الآيات ولتستبين سبل المجرمين } [ الأنعام : 55
Na ndio hivi tunavyo zieleza Ishara ili ibainike njia ya wakosefu
الْيَوْمَ أَكْمَلْتُ لَكُمْ دِينَكُمْ وَأَتْمَمْتُ عَلَيْكُمْ نِعْمَتِي وَرَضِيتُ لَكُمُ الإِسْلاَمَ دِينً
((Leo Nimekukamilishieni Dini yenu, na nimekutimizieni Neema Yangu, na Nimekupendeleeni UISLAMU uwe ndiyo Dini)) [Al-Maaidah: 3]
((وَمَن يُشَاقِقِ الرَّسُولَ مِن بَعْدِ مَا تَبَيَّنَ لَهُ الْهُدَى وَيَتَّبِعْ غَيْرَ سَبِيلِ الْمُؤْمِنِينَ نُوَلِّهِ مَا تَوَلَّى وَنُصْلِهِ جَهَنَّمَ وَسَاءتْ مَصِيرًا))
((Na anayempinga Mtume baada ya kumdhihirikia uongofu, na akafuata njia isiyo kuwa ya Waumini, Tutamuelekeza alikoelekea, na Tutamuingiza katika Jahannamu. Na hayo ni marejeo maovu)) [An-Nisaa: 115
HAYA NDIO YALIOPOKEWA KUHUSU NUSFU SHAABAN
عن أبي موسى الأشعري رضي الله عنه عن رسول الله صلى الله عليه وسلم قال: إن الله ليطلع في ليلة النصف من شعبان فيغفر لجميع خلقه إلا لمشرك أو مشاحن )) رواه ابن ماجة وحسنه الألباني في السلسلة الصحيحة
((Imetoka kwa Abu Muusa Al-Ash'ariy رضي الله عنه kwamba Mtume صلى الله عليه وآله وسلم amesema: Hutokea Allaah سبحانه وتعالىKatika usiku wa 15 wa Sha'abaan, na Huwasamehe wote isipokuwa Washirikina au mzushi )) Ibn Maajah na imesemwa kuwa ni Hadiyth Hasan na Shaykh Al-Albaaniy.
قال الشيخ الألباني رحمه الله
في تخريج إصلاح المساجد للقاسمي (ص88)
لا يلزم من ثبوت هذا الحديث اتخاذ هذه الليلة موسماً يجتمع الناس فيها
ويفعلون فيها من البدع
Amesema Sheikh Albaani (Rehma za MwenyeziMungu zimfikie) hailazimu kwa kuthibiti hadithi hii kuufanya usiku huo ni msimu ambao watu wana kusanyika ndani yake na kufanya ya uzushi
,kisha kama ilivyodhahiri hakuna katika hadithi hiyo ishara ya watu kufanya ibada usiku wake au kufunga mchana wake,na qauli ya wanavyuoni wengi ni kwamba kukusanyika katika swala hili ni kwa sababu haikuswihi hadithi katika usiku huo kutokana na Mtume (Rehma na amani zimfikie) wala hakutamka kua watu wa swali katika usiku huo na kuwasha moto, na mambo waliyo yazusha wenye kuchezea sheria ya Mtume (Rehma na amani zimfikie) .
Kuufanya makhsus usiku wa nusfu shaaban kwa kusmama usiku kuswali au kufanya ibada nyenginezo sio sunnah bali ni bida’a
Amesema sheikh ibnu uthaimeen:-
أن ليلة النصف من شعبان كغيرها من الليالي، لا تخص بقيام, ولا يوم النصف بصيام
لكن من كان يقوم كل ليلة, فلا نقول لا تقم ليلة النصف ومن كان يصوم أيام البيض لا نقول لا تصم أيام النصف إنما نقول: لا تخص ليلها بقيام ولا نهارها بصيام
Ya kwamba usiku wa nusu ya shaaban ni sawa kama usiku mwengine, musiufanye makhsus kwa kuswali usiku na kufunga mchana wake,walakin yule ambae yuwaswali kila usiku hatumkatazi kuswali usiku huu na ambae yuwafunga ayyam ala beidh hatumkatazi walakin twasema haifai kuufanya usiku na mchana wa nusu ya shaaban makhsus kwa kufunga au kusmama usiku.
Na amesema Mwanachuoni wa Al Jazira Sheikh Ibn Baaz katika mwisho wa (Bah’thi) utafiti wake “na kutokana na aya na hadithi na maneno ya wanavyuoni yaliotangulia hubainika kwa mwenye kutaka haki kwamba hukusanyika katika usiku wa nusu ya Shaaban kwa kuswali au kwa ibada nyengine na kuuhusu mchana wake kwa kufunga ni uzushi wenye kukatazwa na wanavyuoni wengi na jambo hilo halina dalili yoyote katika sheria takatifu, tena jambo hilo limezuka katika uislamu baada ya zama za maswahahaba….(”At – Tahdhiru Minal Bid’aah ya Ibn Baaz uk 27)
AMA KUHUSU KUSOMA YASIIN TATU
قراءة يس ثلاث مرات، المرة الاولى بنية طول العمر ، والمرة الثانية بنية دفع البلاء ، والمرة الثلاثة بنية الرزق .
Yaseen ya kwanza kwa nia kuwa na umri mrefu , yapili kwa kuondoa balaa naya tatu kwa kukunduliwa kwa rizki na kila baada ya yasinn kusoma dua hii:-:
اللهم يا ذا المن لا يمن عليه احد يا ذا الجلال والإكرام يا ذا الطول والأنعام…………………،
Haya hayapo katika mafundisho wa dini yetu kama yapo yangetufikia walakin Jee Mtume (Rehma na amani zimfikie) aliyasoma haya, au Maswahaba au Maimamu wanne waliyafanya haya??????????
Memeyapata wapi???
قُلْ هَاتُوا بُرْهَانَكُمْ إِنْ كُنتُمْ صَادِقِينَ
Sema: Leteni ushahidi wenu kama nyinyi ni wasema kweli SURA AL- BAQARA 111
Kama hamuna dalili basi Allah awaambia:-
قُلْ أَتُعَلِّمُونَ اللَّهَ بِدِينِكُمْ
Sema: Ati ndio mnamfundisha Mwenyezi Mungu Dini yenu??
16). (SURAT AL H'UJURAAT
Mtume (Rehma na amani zimfikie) asema
من عمل عملاً ليس عليه أمرنا فهو رد البخاري
((Atakayetenda kitendo kisichokuwa chetu (katika dini yetu) basi kitarudishwa)) Al-Bukhaariy
ترجو النجاة ولم تسلك مسالكها: إن السفينة لا تجرى على اليبس.
“Unatarajia kuokoka (kufaulu) bila ya kupita katika njia zake (Elewa kwamba) jahazi haiwezi kwenda kwenye nchi kavu.”
Mshairi mwengine anasema:
وإن أتيت الأمر من غير بابه: ضللت وإن تدخل من الباب تهتد.
“Ukiliendea jambo (ukitaka kulifanya jambo) bila ya kupita katika njia zake utapotea (na kuwapoteza wenzako). Na ukiliingia jambo katika njia zake utaongoka (na utaongoza wenzako).”
يا أيها الذين آمنـوا إن كـثـيراً من الأحـبار والرهبــان ليأكلون أموال الناس بالباطل ويصـدون عن سبـيـل الله } [ التوبة : 34
. Enyi mlio amini! Hakika wengi katika makuhani na wamonaki wanakula mali za watu kwa baat'ili na wanazuilia Njia ya Mwenyezi Mungu.
Allah Asema:-
((اتَّبِعُواْ مَا أُنزِلَ إِلَيْكُم مِّن رَّبِّكُمْ وَلاَ تَتَّبِعُواْ مِن دُونِهِ أَوْلِيَاء))
((Fuateni mliyoteremshiwa kutoka kwa Mola Mlezi wenu, wala msifuate rafiki au walinzi wengine badala yake
Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) katika khutbah yake mwisho kwenye Hijjatul-widaa' alisema:
يا أيها الناس، ما من شيء يقربكم إلى الجنة ويباعدكم من النار إلا وقد أمرتكم به، وما من شيء يقربكم من النار ويباعدكم من الجنة إلا وقد نهيتكم عنه
((Enyi watu, hakuna jambo lolote ambalo litakukurubisheni na Pepo na kukuepusheni na moto ila nimekuamrisheni nalo. Na hakuna jambo lolote litakalokukurubisheni na moto au kukuepusheni na Pepo ila nimekukatazeni nalo))
إن خير الكلام كلام الله وخير الهدي هدي محمدصلى الله علي وسلم وشر الأمور محدثاتها وكل محدثة بدعة وكل بدعة ضلالة وكلضلالة في النار)) أخرجه مسلم في صحيحه
((Maneno bora ni kitabu cha Allaah (Qur-aan) na uongofu mbora kabisa ni uongofu wa Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na jambo la shari kabisa ni uzushi, na kila jambo jipya (katika Dini) ni bid'ah (uzushi) na kila bid'ah ni motoni))[Muslim katika Swahiyh yake
Na Amesema Allah -azza wajalla-:
وَإِذَا قِيلَ لَهُمْ آمِنُواْ آَمَا آمَنَ النَّاسُ قَالُواْ أَنُؤْمِنُ آَمَا آمَنَ السُّفَهَاء أَلا إِنَّهُمْ هُمُ السُّفَهَاء وَلَكِن لاَّ يَعْلَمُون
“Na wanapoambiwa:aminini KAMA WALIVYOAMINI WATU wanasema;
Tuamini kama walivyoamini wapumbavu?...”.
Suratul-Baqarah aya ya 13.
Imepokewa kutoka kwa Ibnu Mas’oud na Ibn Abbaas kwamba
wamesema: “Watu waliokusudiwa hapa ni maswahaba”.
Tazama tafsiri al-Durrul-Manthuur juzuu ya 1 ukurasa 70-71.
Na amesema tena Allah:
فَإِنْ آمَنُواْ بِمِثْلِ مَا آمَنتُم بِهِ فَقَدِ اهْتَدَواْ وَّإِن تَوَلَّوْاْ فَإِنَّمَا هُمْ فِي شِقَاقٍ فَسَيَكْفِيكَهُمُ اللّهُ وَهُوَ السَّمِيعُ
الْعَلِيمُ البقرة 137
“Basi wakiamini KAMA MLIVYOAMINI NYINYI (maswahaba) basi
watakuwa wameongoka.Na wakikengeuka basi wao wamo katika
upinzani”.
Suratul Baqarah aya ya 137.
Amesema Allah:
والسابقون الأولون من المهاجرين والأنصار والذين اتبعوهم بإحسان رضي الله عنهم ورضوا
عنه...الآية
“Na wale waliotangulia, wakwanza katika Muhajirina na Answaari,nawale waliowafuata kwa wema, Allah ameridhika nao, na waowameridhika naye....”.
Suratut Tawba aya ya 100.
Kwa mujibu wa aya hizo zote tulizozitaja, tunatakiwa waislamu wotekuamini kama walivyoamini maswahaba wa Mtume Muhammad -swalla llaahu alayhi wasallam- pamoja na kuifuata njia waliyoipita. Na kama imani zetu zitatofautiana na imani zao na njia yetu
ikitofautiana na njia yao, basi tutakuwa ndani ya mashaka makubwamno na upotevu uliowazi kama zilivyoeleza aya tulizozitaja.
Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) Anasema
((فَلْيَحْذَرِ الَّذِينَ يُخَالِفُونَ عَنْ أَمْرِهِ أَن تُصِيبَهُمْ فِتْنَةٌ أَوْ يُصِيبَهُمْ عَذَابٌ أَلِيمٌ))
((Basi na watahadhari wanaokhalifu amri yake, usije ukawapata msiba au ikawapata adhabu iumizayo))
سُبْحـانَكَ اللّهُـمَّ وَبِحَمدِك، أَشْهَـدُ أَنْ لا إِلهَ إِلاّ أَنْتَ أَسْتَغْفِرُكَ وَأَتوبُ إِلَـيْك
Subhaanaka Allaahuumma Wa Bihamdika, Ash-Hadu An Laa Ilaaha Illa Anta, Astaghfiruka Wa Atuubu Ilayka
Sema: Leteni ushahidi wenu kama nyinyi ni wasema kweli SURA AL- BAQARA 111
Kama hamuna dalili basi Allah awaambia:-
قُلْ أَتُعَلِّمُونَ اللَّهَ بِدِينِكُمْ
Sema: Ati ndio mnamfundisha Mwenyezi Mungu Dini yenu??
16). (SURAT AL H'UJURAAT
Mtume (Rehma na amani zimfikie) asema
من عمل عملاً ليس عليه أمرنا فهو رد البخاري
((Atakayetenda kitendo kisichokuwa chetu (katika dini yetu) basi kitarudishwa)) Al-Bukhaariy
ترجو النجاة ولم تسلك مسالكها: إن السفينة لا تجرى على اليبس.
“Unatarajia kuokoka (kufaulu) bila ya kupita katika njia zake (Elewa kwamba) jahazi haiwezi kwenda kwenye nchi kavu.”
Mshairi mwengine anasema:
وإن أتيت الأمر من غير بابه: ضللت وإن تدخل من الباب تهتد.
“Ukiliendea jambo (ukitaka kulifanya jambo) bila ya kupita katika njia zake utapotea (na kuwapoteza wenzako). Na ukiliingia jambo katika njia zake utaongoka (na utaongoza wenzako).”
يا أيها الذين آمنـوا إن كـثـيراً من الأحـبار والرهبــان ليأكلون أموال الناس بالباطل ويصـدون عن سبـيـل الله } [ التوبة : 34
. Enyi mlio amini! Hakika wengi katika makuhani na wamonaki wanakula mali za watu kwa baat'ili na wanazuilia Njia ya Mwenyezi Mungu.
Allah Asema:-
((اتَّبِعُواْ مَا أُنزِلَ إِلَيْكُم مِّن رَّبِّكُمْ وَلاَ تَتَّبِعُواْ مِن دُونِهِ أَوْلِيَاء))
((Fuateni mliyoteremshiwa kutoka kwa Mola Mlezi wenu, wala msifuate rafiki au walinzi wengine badala yake
Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) katika khutbah yake mwisho kwenye Hijjatul-widaa' alisema:
يا أيها الناس، ما من شيء يقربكم إلى الجنة ويباعدكم من النار إلا وقد أمرتكم به، وما من شيء يقربكم من النار ويباعدكم من الجنة إلا وقد نهيتكم عنه
((Enyi watu, hakuna jambo lolote ambalo litakukurubisheni na Pepo na kukuepusheni na moto ila nimekuamrisheni nalo. Na hakuna jambo lolote litakalokukurubisheni na moto au kukuepusheni na Pepo ila nimekukatazeni nalo))
إن خير الكلام كلام الله وخير الهدي هدي محمدصلى الله علي وسلم وشر الأمور محدثاتها وكل محدثة بدعة وكل بدعة ضلالة وكلضلالة في النار)) أخرجه مسلم في صحيحه
((Maneno bora ni kitabu cha Allaah (Qur-aan) na uongofu mbora kabisa ni uongofu wa Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na jambo la shari kabisa ni uzushi, na kila jambo jipya (katika Dini) ni bid'ah (uzushi) na kila bid'ah ni motoni))[Muslim katika Swahiyh yake
Na Amesema Allah -azza wajalla-:
وَإِذَا قِيلَ لَهُمْ آمِنُواْ آَمَا آمَنَ النَّاسُ قَالُواْ أَنُؤْمِنُ آَمَا آمَنَ السُّفَهَاء أَلا إِنَّهُمْ هُمُ السُّفَهَاء وَلَكِن لاَّ يَعْلَمُون
“Na wanapoambiwa:aminini KAMA WALIVYOAMINI WATU wanasema;
Tuamini kama walivyoamini wapumbavu?...”.
Suratul-Baqarah aya ya 13.
Imepokewa kutoka kwa Ibnu Mas’oud na Ibn Abbaas kwamba
wamesema: “Watu waliokusudiwa hapa ni maswahaba”.
Tazama tafsiri al-Durrul-Manthuur juzuu ya 1 ukurasa 70-71.
Na amesema tena Allah:
فَإِنْ آمَنُواْ بِمِثْلِ مَا آمَنتُم بِهِ فَقَدِ اهْتَدَواْ وَّإِن تَوَلَّوْاْ فَإِنَّمَا هُمْ فِي شِقَاقٍ فَسَيَكْفِيكَهُمُ اللّهُ وَهُوَ السَّمِيعُ
الْعَلِيمُ البقرة 137
“Basi wakiamini KAMA MLIVYOAMINI NYINYI (maswahaba) basi
watakuwa wameongoka.Na wakikengeuka basi wao wamo katika
upinzani”.
Suratul Baqarah aya ya 137.
Amesema Allah:
والسابقون الأولون من المهاجرين والأنصار والذين اتبعوهم بإحسان رضي الله عنهم ورضوا
عنه...الآية
“Na wale waliotangulia, wakwanza katika Muhajirina na Answaari,nawale waliowafuata kwa wema, Allah ameridhika nao, na waowameridhika naye....”.
Suratut Tawba aya ya 100.
Kwa mujibu wa aya hizo zote tulizozitaja, tunatakiwa waislamu wotekuamini kama walivyoamini maswahaba wa Mtume Muhammad -swalla llaahu alayhi wasallam- pamoja na kuifuata njia waliyoipita. Na kama imani zetu zitatofautiana na imani zao na njia yetu
ikitofautiana na njia yao, basi tutakuwa ndani ya mashaka makubwamno na upotevu uliowazi kama zilivyoeleza aya tulizozitaja.
Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) Anasema
((فَلْيَحْذَرِ الَّذِينَ يُخَالِفُونَ عَنْ أَمْرِهِ أَن تُصِيبَهُمْ فِتْنَةٌ أَوْ يُصِيبَهُمْ عَذَابٌ أَلِيمٌ))
((Basi na watahadhari wanaokhalifu amri yake, usije ukawapata msiba au ikawapata adhabu iumizayo))
سُبْحـانَكَ اللّهُـمَّ وَبِحَمدِك، أَشْهَـدُ أَنْ لا إِلهَ إِلاّ أَنْتَ أَسْتَغْفِرُكَ وَأَتوبُ إِلَـيْك
Subhaanaka Allaahuumma Wa Bihamdika, Ash-Hadu An Laa Ilaaha Illa Anta, Astaghfiruka Wa Atuubu Ilayka
No comments:
Post a Comment